RATIBA YA KAZI
Katika kazi yoyote ni muhimu kuwa na ratiba yenye malengo uliyojiwekea,katika kipindi maalumu.Hii itasaidia katika kufanya tathimini na kubaini ni kazi gani haikufanyika na ni kwa nini.Kama huna ratiba katika kazi zoko hii inaweza kukusababishia kufanya kazi chini ya malengo au kutofanya kazi kabisa.
Comments
Post a Comment