UJUMBE WA LEO
Ndoto siyo yale unayoyaona ukiwa usingizini bali ni yale yanayokufanya ukose usingiz.
Ndoto zako haziwezi kutimia eti kwa sabubu unaziota ,bali unahitaji kufanya kazi kubwa kila siku ili kuzitimiza .Hepuka kuhailisha hailisha mambo.
Comments
Post a Comment